YouVersion logo
BijbelLeesplannenVideo's
Download de app
Taalkiezer
Zoek icoon

Populaire Bijbelverzen uit Mwa 2

1

Mwa 2:24

Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia

SUV

Kwa hiyo mwanamume atamwacha baba yake na mama yake naye ataambatana na mkewe, nao watakuwa mwili mmoja.

Vergelijk

Ontdek Mwa 2:24

2

Mwa 2:18

Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia

SUV

BWANA Mungu akasema, Si vema huyo mtu awe peke yake, nitamfanyia msaidizi wa kufanana naye.

Vergelijk

Ontdek Mwa 2:18

3

Mwa 2:7

Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia

SUV

BWANA Mungu akamfanya mtu kwa mavumbi ya ardhi, akampulizia puani pumzi ya uhai; mtu akawa nafsi hai.

Vergelijk

Ontdek Mwa 2:7

4

Mwa 2:23

Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia

SUV

Adamu akasema, Sasa huyu ni mfupa katika mifupa yangu, na nyama katika nyama yangu, basi ataitwa mwanamke, kwa maana ametwaliwa katika mwanamume.

Vergelijk

Ontdek Mwa 2:23

5

Mwa 2:3

Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia

SUV

Mungu akaibarikia siku ya saba, akaitakasa kwa sababu katika siku hiyo Mungu alistarehe, akaacha kufanya kazi yake yote aliyoiumba na kuifanya.

Vergelijk

Ontdek Mwa 2:3

6

Mwa 2:25

Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia

SUV

Nao walikuwa uchi wote wawili, Adamu na mkewe, wala hawakuona haya.

Vergelijk

Ontdek Mwa 2:25

Gratis leesplannen en overdenkingen die te maken hebben met Mwa 2

Vorig hoofdstuk
Volgend hoofdstuk
YouVersion

Moedigt jou aan en daagt je uit om elke dag gemeenschap met God te zoeken.

Bediening

Over

Carrières

Vrijwilliger

Blog

Pers

Nuttige links

Help

Bijdragen

Bijbelvertalingen

Luisterbijbels

Bijbeltalen

Tekst van de Dag


Een digitale bediening van

Life.Church
Nederlands (Nederland)

©2026 Life.Church / YouVersion

PrivacybeleidVoorwaarden
Programma voor openbaarmaking van kwetsbaarheden
FacebookTwitterInstagramYouTubePinterest