1
Mwa 18:14
Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia
Kuna neno gani lililo gumu la kumshinda BWANA? Kwa muhula wake nitakurudia, wakati huu huu mwakani, na Sara atapata mwana wa kiume.
Vergelijk
Ontdek Mwa 18:14
2
Mwa 18:12
Kwa hiyo Sara akacheka moyoni mwake, akisema, Niwapo mkongwe, nitapata furaha, na bwana wangu mzee?
Ontdek Mwa 18:12
3
Mwa 18:18
akiwa Ibrahimu atakuwa taifa kuu, hodari, na katika yeye mataifa yote ya dunia watabarikiwa?
Ontdek Mwa 18:18
4
Mwa 18:23-24
Ibrahimu akakaribia, akasema, Je! Utaharibu mwenye haki pamoja na mwovu? Huenda wakawapo wenye haki hamsini katika mji, utaharibu, wala hutauacha mji kwa ajili ya hao hamsini wenye haki waliomo?
Ontdek Mwa 18:23-24
5
Mwa 18:26
BWANA akasema, Nikiona katika Sodoma wenye haki hamsini mjini, nitapaacha mahali pote kwa ajili yao.
Ontdek Mwa 18:26
Thuisscherm
Bijbel
Leesplannen
Video's