1
Mattayo MT. 14:30-31
New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921
SWZZB1921
Lakini alipoona upepo wa nguvu, akaogopa: akaanza kuzama, akapiga yowe, akinena, Bwana, niokoe. Marra Yesu akanyosha mkono wake, akamshika, akamwambia, Ewe mwenye imani haba, mbona uliona shaka?
နှိုင်းယှဉ်
Mattayo MT. 14:30-31ရှာဖွေလေ့လာလိုက်ပါ။
2
Mattayo MT. 14:30
Lakini alipoona upepo wa nguvu, akaogopa: akaanza kuzama, akapiga yowe, akinena, Bwana, niokoe.
Mattayo MT. 14:30ရှာဖွေလေ့လာလိုက်ပါ။
3
Mattayo MT. 14:27
Marra Yesu akasema nao, akinena, Jipeni moyo; ni mimi; msiogope.
Mattayo MT. 14:27ရှာဖွေလေ့လာလိုက်ပါ။
4
Mattayo MT. 14:28-29
Petro akamjibu, akasema, Bwana, ikiwa ni wewe, niamuru nije kwako juu ya maji. Akasema, Njoo. Petro akashuka chomboni, akatembea juu ya maji, illi kumwendea Yesu.
Mattayo MT. 14:28-29ရှာဖွေလေ့လာလိုက်ပါ။
5
Mattayo MT. 14:33
Nao waliokuwa ndani ya chombo wakamwendea, wakamsujudia, wakinena, Hakika wewe u Mwana wa Mungu.
Mattayo MT. 14:33ရှာဖွေလေ့လာလိုက်ပါ။
6
Mattayo MT. 14:16-17
Yesu akawaambia, Hawana haja kwenda zao, wapeni ninyi kula. Wakamwambia, Hatuna kitu hapa illa mikate mitano na samaki mbili.
Mattayo MT. 14:16-17ရှာဖွေလေ့လာလိုက်ပါ။
7
Mattayo MT. 14:18-19
Akasema, Nileteeni vitu vile hapa. Akawaagiza makutano waketi katika majani; akaitwaa ile mikate mitano na zile samaki mbili, akatazama juu mbinguni, akabariki, akamega, akawapa wanafunzi ile mikate, wanafunzi wakawapa makutano.
Mattayo MT. 14:18-19ရှာဖွေလေ့လာလိုက်ပါ။
8
Mattayo MT. 14:20
Wakala wote wakashiba: wakayaokota masazo ya vipande vya mikate, vikapu thenashara, vimejaa.
Mattayo MT. 14:20ရှာဖွေလေ့လာလိုက်ပါ။
ပင်မစာမျက်နှာ
သမ္မာကျမ်းစာ
အစီအစဉ်များ
ဗီဒီယိုများ