1
Mwanzo 9:12-13
Swahili Revised Union Version
SRUV
Mungu akasema, Hii ndiyo ishara ya agano nifanyalo kati yangu na ninyi, na kila kiumbe hai kilichoko pamoja nanyi, kwa vizazi vyote hata milele; Mimi nauweka upinde wangu winguni, nao utakuwa ni ishara ya agano kati yangu na nchi.
နှိုင်းယှဉ်
Mwanzo 9:12-13ရှာဖွေလေ့လာလိုက်ပါ။
2
Mwanzo 9:16
Basi huo upinde utakuwa winguni; nami nitauangalia nipate kulikumbuka agano la milele lililoko kati ya Mungu na kila kiumbe hai katika wote wenye mwili kilichoko katika nchi.
Mwanzo 9:16ရှာဖွေလေ့လာလိုက်ပါ။
3
Mwanzo 9:6
Atakayemwaga damu ya mwanadamu, damu yake huyo itamwagwa na mwanadamu, maana kwa mfano wake Mungu alimfanya mwanadamu.
Mwanzo 9:6ရှာဖွေလေ့လာလိုက်ပါ။
4
Mwanzo 9:1
Mungu akambariki Nuhu na wanawe, akawaambia, Zaeni, mkaongezeke, mkaijaze nchi.
Mwanzo 9:1ရှာဖွေလေ့လာလိုက်ပါ။
5
Mwanzo 9:3
Kila kiendacho kilicho hai kitakuwa chakula chenu, kama nilivyowapa mboga za majani, kadhalika nawapa hivi vyote.
Mwanzo 9:3ရှာဖွေလေ့လာလိုက်ပါ။
6
Mwanzo 9:2
Kila mnyama wa nchi atawaogopa ninyi na kuwahofu, na kila ndege wa angani: pamoja na vitu vyote vilivyojaa katika ardhi, na samaki wote wa baharini; vimetiwa mikononi mwenu.
Mwanzo 9:2ရှာဖွေလေ့လာလိုက်ပါ။
7
Mwanzo 9:7
Nanyi zaeni, mkaongezeke; zaeni sana katika nchi, mkaongezeke ndani yake.
Mwanzo 9:7ရှာဖွေလေ့လာလိုက်ပါ။
ပင်မစာမျက်နှာ
သမ္မာကျမ်းစာ
အစီအစဉ်များ
ဗီဒီယိုများ