1
Yn 3:16
Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia
Kwa maana jinsi hii Mungu aliupenda ulimwengu, hata akamtoa Mwanawe pekee, ili kila mtu amwaminiye asipotee, bali awe na uzima wa milele.
နှိုင်းယှဉ်
Yn 3:16ရှာဖွေလေ့လာလိုက်ပါ။
2
Yn 3:17
Maana Mungu hakumtuma Mwana ulimwenguni ili auhukumu ulimwengu, bali ulimwengu uokolewe katika yeye.
Yn 3:17ရှာဖွေလေ့လာလိုက်ပါ။
3
Yn 3:3
Yesu akajibu, akamwambia, Amin, amin, nakuambia, Mtu asipozaliwa mara ya pili, hawezi kuuona ufalme wa Mungu.
Yn 3:3ရှာဖွေလေ့လာလိုက်ပါ။
4
Yn 3:18
Amwaminiye yeye hahukumiwi; asiyeamini amekwisha kuhukumiwa; kwa sababu hakuliamini jina la Mwana pekee wa Mungu.
Yn 3:18ရှာဖွေလေ့လာလိုက်ပါ။
5
Yn 3:19
Na hii ndiyo hukumu; ya kuwa nuru imekuja ulimwenguni, na watu wakapenda giza kuliko nuru; kwa maana matendo yao yalikuwa maovu.
Yn 3:19ရှာဖွေလေ့လာလိုက်ပါ။
6
Yn 3:30
Basi hii furaha yangu imetimia. Yeye hana budi kuzidi, bali mimi kupungua.
Yn 3:30ရှာဖွေလေ့လာလိုက်ပါ။
7
Yn 3:20
Maana kila mtu atendaye mabaya huichukia nuru, wala haji kwenye nuru, matendo yake yasije yakakemewa.
Yn 3:20ရှာဖွေလေ့လာလိုက်ပါ။
8
Yn 3:36
Amwaminiye Mwana yuna uzima wa milele; asiyemwamini Mwana hataona uzima, bali ghadhabu ya Mungu inamkalia.
Yn 3:36ရှာဖွေလေ့လာလိုက်ပါ။
9
Yn 3:14
Na kama vile Musa alivyomwinua yule nyoka jangwani, vivyo hivyo Mwana wa Adamu hana budi kuinuliwa
Yn 3:14ရှာဖွေလေ့လာလိုက်ပါ။
10
Yn 3:35
Baba ampenda Mwana, naye amempa vyote mkononi mwake.
Yn 3:35ရှာဖွေလေ့လာလိုက်ပါ။
ပင်မစာမျက်နှာ
ကျမ်းစာ
အစီအစဉ်
ဗီဒီယို