1
Yn 12:26
Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia
Mtu akinitumikia, na anifuate; nami nilipo, ndipo na mtumishi wangu atakapokuwapo. Tena mtu akinitumikia, Baba atamheshimu.
နှိုင်းယှဉ်
Yn 12:26ရှာဖွေလေ့လာလိုက်ပါ။
2
Yn 12:25
Yeye aipendaye nafsi yake ataiangamiza; naye aichukiaye nafsi yake katika ulimwengu huu ataisalimisha hata uzima wa milele.
Yn 12:25ရှာဖွေလေ့လာလိုက်ပါ။
3
Yn 12:24
Amin, amin, nawaambia, Chembe ya ngano isipoanguka katika nchi, ikafa, hukaa hali iyo hiyo peke yake; bali ikifa, hutoa mazao mengi.
Yn 12:24ရှာဖွေလေ့လာလိုက်ပါ။
4
Yn 12:46
Mimi nimekuja ili niwe nuru ya ulimwengu, ili kila mtu aniaminiye mimi asikae gizani.
Yn 12:46ရှာဖွေလေ့လာလိုက်ပါ။
5
Yn 12:47
Na mtu akiyasikia maneno yangu, asiyashike, mimi simhukumu; maana sikuja ili niuhukumu ulimwengu, ila niuokoe ulimwengu.
Yn 12:47ရှာဖွေလေ့လာလိုက်ပါ။
6
Yn 12:3
Basi Mariamu akatwaa ratli ya marhamu ya nardo safi yenye thamani nyingi, akampaka Yesu miguu, akamfuta miguu kwa nywele zake. Nayo nyumba pia ikajaa harufu ya marhamu.
Yn 12:3ရှာဖွေလေ့လာလိုက်ပါ။
7
Yn 12:13
wakatwaa matawi ya mitende, wakatoka nje kwenda kumlaki, wakapiga makelele, Hosana! Ndiye mbarikiwa ajaye kwa jina la Bwana, Mfalme wa Israeli!
Yn 12:13ရှာဖွေလေ့လာလိုက်ပါ။
8
Yn 12:23
Naye Yesu akawajibu, akasema, Saa imefika atukuzwe Mwana wa Adamu.
Yn 12:23ရှာဖွေလေ့လာလိုက်ပါ။
ပင်မစာမျက်နှာ
ကျမ်းစာ
အစီအစဉ်
ဗီဒီယို