1
Yn 10:10
Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia
Mwivi haji ila aibe na kuchinja na kuharibu; mimi nalikuja ili wawe na uzima, kisha wawe nao tele.
နှိုင်းယှဉ်
Yn 10:10ရှာဖွေလေ့လာလိုက်ပါ။
2
Yn 10:11
Mimi ndimi mchungaji mwema. Mchungaji mwema huutoa uhai wake kwa ajili ya kondoo.
Yn 10:11ရှာဖွေလေ့လာလိုက်ပါ။
3
Yn 10:27
Kondoo wangu waisikia sauti yangu; nami nawajua, nao wanifuata.
Yn 10:27ရှာဖွေလေ့လာလိုက်ပါ။
4
Yn 10:28
Nami nawapa uzima wa milele; wala hawatapotea kamwe; wala hakuna mtu atakayewapokonya katika mkono wangu.
Yn 10:28ရှာဖွေလေ့လာလိုက်ပါ။
5
Yn 10:9
Mimi ndimi mlango; mtu akiingia kwa mimi, ataokoka; ataingia na kutoka, naye atapata malisho.
Yn 10:9ရှာဖွေလေ့လာလိုက်ပါ။
6
Yn 10:14
Mimi ndimi mchungaji mwema; nao walio wangu nawajua; nao walio wangu wanijua mimi
Yn 10:14ရှာဖွေလေ့လာလိုက်ပါ။
7
Yn 10:29-30
Baba yangu aliyenipa hao ni mkuu kuliko wote; wala hakuna mtu awezaye kuwapokonya katika mkono wa Baba yangu. Mimi na Baba tu umoja.
Yn 10:29-30ရှာဖွေလေ့လာလိုက်ပါ။
8
Yn 10:15
kama vile Baba anijuavyo, nami nimjuavyo Baba. Nami nautoa uhai wangu kwa ajili ya kondoo.
Yn 10:15ရှာဖွေလေ့လာလိုက်ပါ။
9
Yn 10:18
Hakuna mtu aniondoleaye, bali mimi nautoa mwenyewe. Nami ninao uweza wa kuutoa, ninao na uweza wa kuutwaa tena. Agizo hilo nalilipokea kwa Baba yangu.
Yn 10:18ရှာဖွေလေ့လာလိုက်ပါ။
10
Yn 10:7
Basi Yesu aliwaambia tena, Amin, amin, nawaambieni, Mimi ndimi mlango wa kondoo.
Yn 10:7ရှာဖွေလေ့လာလိုက်ပါ။
11
Yn 10:12
Mtu wa mshahara, wala si mchungaji, ambaye kondoo si mali yake, humwona mbwa-mwitu anakuja, akawaacha kondoo na kukimbia; na mbwa-mwitu huwakamata na kuwatawanya.
Yn 10:12ရှာဖွေလေ့လာလိုက်ပါ။
12
Yn 10:1
Yesu aliwaambia, Amin, amin, nawaambieni, Yeye asiyeingia mlangoni katika zizi la kondoo, lakini akwea penginepo, huyo ni mwivi naye ni mnyang’anyi.
Yn 10:1ရှာဖွေလေ့လာလိုက်ပါ။
ပင်မစာမျက်နှာ
သမ္မာကျမ်းစာ
အစီအစဉ်များ
ဗီဒီယိုများ