1
Mwa 9:12-13
Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia
SUV
Mungu akasema, Hii ndiyo ishara ya agano nifanyalo kati yangu na ninyi, na kila kiumbe hai kilichoko pamoja nanyi, kwa vizazi vyote hata milele; Mimi nauweka upinde wangu winguni, nao utakuwa ni ishara ya agano kati yangu na nchi.
နှိုင်းယှဉ်
Mwa 9:12-13ရှာဖွေလေ့လာလိုက်ပါ။
2
Mwa 9:16
Basi huo upinde utakuwa winguni; nami nitauangalia nipate kulikumbuka agano la milele lililoko kati ya Mungu na kila kiumbe hai katika wote wenye mwili kilichoko katika nchi.
Mwa 9:16ရှာဖွေလေ့လာလိုက်ပါ။
3
Mwa 9:6
Atakayemwaga damu ya mwanadamu, damu yake huyo itamwagwa na mwanadamu, maana kwa mfano wake Mungu alimfanya mwanadamu.
Mwa 9:6ရှာဖွေလေ့လာလိုက်ပါ။
4
Mwa 9:1
Mungu akambariki Nuhu na wanawe, akawaambia, Zaeni, mkaongezeke, mkaijaze nchi.
Mwa 9:1ရှာဖွေလေ့လာလိုက်ပါ။
5
Mwa 9:3
Kila kiendacho kilicho hai kitakuwa chakula chenu, kama nilivyowapa mboga za majani, kadhalika nawapeni hivi vyote.
Mwa 9:3ရှာဖွေလေ့လာလိုက်ပါ။
6
Mwa 9:2
Kila mnyama wa katika nchi atawaogopa ninyi na kuwahofu, na kila ndege wa angani: pamoja na vitu vyote vilivyojaa katika ardhi, na samaki wote wa baharini; vimetiwa mikononi mwenu.
Mwa 9:2ရှာဖွေလေ့လာလိုက်ပါ။
7
Mwa 9:7
Nanyi zaeni, mkaongezeke; zaeni sana katika nchi, mkaongezeke ndani yake.
Mwa 9:7ရှာဖွေလေ့လာလိုက်ပါ။
ပင်မစာမျက်နှာ
သမ္မာကျမ်းစာ
အစီအစဉ်များ
ဗီဒီယိုများ