1
Mwanzo 14:20
Swahili Revised Union Version
Ahimidiwe Mungu Aliye Juu Sana, aliyewatia adui zako mikononi mwako. Abramu akampa fungu la kumi la vitu vyote.
Bandingkan
Selidiki Mwanzo 14:20
2
Mwanzo 14:18-19
Na Melkizedeki mfalme wa Salemu akaleta mkate na divai, naye alikuwa kuhani wa Mungu Aliye Juu Sana. Akambariki, akasema, Abramu na abarikiwe na Mungu Aliye Juu Sana, Muumba mbingu na nchi.
Selidiki Mwanzo 14:18-19
3
Mwanzo 14:22-23
Abramu akamwambia mfalme wa Sodoma, Nimeinua mkono wangu kwa BWANA, Mungu Aliye Juu sana, Muumba mbingu na nchi, ya kuwa sitatwaa uzi wala gidamu ya kiatu wala chochote kilicho chako, usije ukasema, Nimemtajirisha Abramu
Selidiki Mwanzo 14:22-23
Halaman Utama
Alkitab
Pelan
Video