1
Luka 23:34
Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza
Yesu akasema, “Baba, uwasamehe kwa maana hawajui wanalofanya.” Kisha wakagawana mavazi yake kwa kuyapigia kura.
Харьцуулах
Luka 23:34 г судлах
2
Luka 23:43
Yesu akamjibu, “Nakuambia kwa hakika, leo utakuwa pamoja nami peponi.”
Luka 23:43 г судлах
3
Luka 23:42
Kisha akasema, “Ee Yesu! Unikumbuke wakati utakapoingia katika ufalme wako.”
Luka 23:42 г судлах
4
Luka 23:46
Yesu akalia kwa sauti kubwa: “Baba, mikononi mwako naiweka roho yangu.” Alipokwisha sema hayo, akakata roho.
Luka 23:46 г судлах
5
Luka 23:33
Walipofika mahali paitwapo, “Fuvu la Kichwa,” ndipo wakamsulubisha Yesu pamoja na wale wahalifu wawili, mmoja upande wake wa kulia na mwingine upande wake wa kushoto.
Luka 23:33 г судлах
6
Luka 23:44-45
Ilikuwa yapata saa sita mchana; jua likaacha kuangaza, giza likaifunika nchi yote mpaka saa tisa, na pazia lililokuwa limetundikwa hekaluni likapasuka vipande viwili.
Luka 23:44-45 г судлах
7
Luka 23:47
Hapo, yule jemadari alipoona yaliyotukia akamsifu Mungu akisema: “Hakika huyu alikuwa mtu mwema.”
Luka 23:47 г судлах
Нүүр хуудас
Библи
Тѳлѳвлѳгѳѳ
Видео