1
Luka 24:49
Swahili Revised Union Version
Na tazama, nawaletea juu yenu ahadi ya Baba yangu; lakini kaeni humu mjini, hadi mvikwe uwezo utokao juu.
Харьцуулах
Luka 24:49 г судлах
2
Luka 24:6
Hayupo hapa, amefufuka. Kumbukeni alivyosema nanyi alipokuwa bado yuko Galilaya
Luka 24:6 г судлах
3
Luka 24:31-32
Yakafumbuliwa macho yao, wakamtambua; kisha akatoweka mbele yao. Wakaambiana, Je! Mioyo yetu haikuwaka ndani yetu hapo alipokuwa akisema nasi njiani, na kutufunulia Maandiko?
Luka 24:31-32 г судлах
4
Luka 24:46-47
Akawaambia, Ndivyo ilivyoandikwa, kwamba Kristo atateswa na kufufuka siku ya tatu; na kwamba mataifa yote watahubiriwa kwa jina lake habari ya toba na ondoleo la dhambi, kuanza tangu Yerusalemu.
Luka 24:46-47 г судлах
5
Luka 24:2-3
Wakalikuta lile jiwe limevingirishwa mbali na kaburi, Wakaingia, wasiuone mwili wa Bwana Yesu.
Luka 24:2-3 г судлах
Нүүр хуудас
Библи
Тѳлѳвлѳгѳѳ
Видео