1
Luka 22:42
Swahili Revised Union Version
akisema, Ee Baba, ikiwa ni mapenzi yako, uniondolee kikombe hiki; lakini si mapenzi yangu, bali yako yatendeke. [
Харьцуулах
Luka 22:42 г судлах
2
Luka 22:32
lakini nimekuombea wewe ili imani yako isipungue; nawe utakapoongoka waimarishe ndugu zako.
Luka 22:32 г судлах
3
Luka 22:19
Akatwaa mkate, akashukuru, akaumega, akawapa, akisema, [Huu ndio mwili wangu unaotolewa kwa ajili yenu; fanyeni hivi kwa ukumbusho wangu.
Luka 22:19 г судлах
4
Luka 22:20
Kikombe nacho vivyo hivyo baada ya kula; akisema, Kikombe hiki ni agano jipya katika damu yangu, inayomwagika kwa ajili yenu.]
Luka 22:20 г судлах
5
Luka 22:44
Naye kwa vile alivyokuwa katika dhiki, akazidi sana kuomba; jasho yake ikawa kama matone ya damu yakidondoka nchini.]
Luka 22:44 г судлах
6
Luka 22:26
lakini kwenu ninyi sivyo; bali aliye mkubwa kwenu na awe kama aliye mdogo; na mwenye kuongoza kama yule atumikaye.
Luka 22:26 г судлах
7
Luka 22:34
Akasema, Nakuambia, Petro, jogoo hatawika leo, kabla wewe hujanikana mara tatu ya kuwa hunijui.
Luka 22:34 г судлах
Нүүр хуудас
Библи
Тѳлѳвлѳгѳѳ
Видео