1
Yn 11:25-26
Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia
Yesu akamwambia, Mimi ndimi huo ufufuo, na uzima. Yeye aniaminiye mimi, ajapokufa, atakuwa anaishi; naye kila aishiye na kuniamini hatakufa kabisa hata milele. Je! Unayasadiki hayo?
Спореди
Истражи Yn 11:25-26
2
Yn 11:40
Yesu akamwambia, Mimi sikukuambia ya kwamba ukiamini utauona utukufu wa Mungu?
Истражи Yn 11:40
3
Yn 11:35
Yesu akalia machozi.
Истражи Yn 11:35
4
Yn 11:4
Naye Yesu aliposikia, alisema, Ugonjwa huu si wa mauti, bali ni kwa ajili ya utukufu wa Mungu, ili Mwana wa Mungu atukuzwe kwa huo.
Истражи Yn 11:4
5
Yn 11:43-44
Naye akiisha kusema hayo, akalia kwa sauti kuu, Lazaro, njoo huku nje. Akatoka nje yule aliyekufa, amefungwa sanda miguuni na mikononi, na uso wake amefungwa leso. Naye Yesu akawaambia, Mfungueni, mkamwache aende zake.
Истражи Yn 11:43-44
6
Yn 11:38
Basi Yesu, hali akiugua tena nafsini mwake, akafika kwenye kaburi. Nalo lilikuwa ni pango, na jiwe limewekwa juu yake.
Истражи Yn 11:38
7
Yn 11:11
Aliyasema hayo; kisha, baada ya hayo, akawaambia, Rafiki yetu, Lazaro, amelala; lakini ninakwenda nipate kumwamsha.
Истражи Yn 11:11
Дома
Библија
Планови
Видеа