YouVersion logotips
Meklēt ikonu

Luka 19:39-40

Luka 19:39-40 SCLDC10

Hapo baadhi ya Mafarisayo waliokuwako katika lile kundi la watu wakamwambia Yesu, “Mwalimu, wanyamazishe wanafunzi wako!” Yesu akawajibu, “Nawaambieni, kama hawa wakinyamaza, hakika hayo mawe yatapaza sauti.”

Lasi Luka 19