1
Luka 17:19
BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA
Halafu akamwambia huyo mtu, “Simama, uende zako; imani yako imekuponya.”
Salīdzināt
Izpēti Luka 17:19
2
Luka 17:4
Na kama akikukosea mara saba kwa siku, na kila mara akarudi kwako akisema, ‘Nimetubu,’ lazima umsamehe.”
Izpēti Luka 17:4
3
Luka 17:15-16
Mmoja wao alipoona kwamba ameponywa, alirudi akimtukuza Mungu kwa sauti kubwa. Akajitupa chini mbele ya miguu ya Yesu huku akimshukuru. Huyo alikuwa Msamaria.
Izpēti Luka 17:15-16
4
Luka 17:3
Jihadharini! Kama ndugu yako akikukosea, muonye; akitubu, msamehe.
Izpēti Luka 17:3
5
Luka 17:17
Hapo Yesu akasema, “Je, si watu kumi walitakaswa? Wale tisa wako wapi?
Izpēti Luka 17:17
6
Luka 17:6
Naye Bwana akajibu, “Kama imani yenu ingekuwa ndogo hata kama chembe ndogo ya haradali, mngeweza kuuambia mti huu wa mkuyu: ‘Ngoka ukajipandikize baharini,’ nao ungewatii.
Izpēti Luka 17:6
7
Luka 17:33
Yeyote anayetaka kuiokoa nafsi yake, ataipoteza; na yeyote anayeipoteza, ataiokoa.
Izpēti Luka 17:33
8
Luka 17:1-2
Kisha, Yesu akawaambia wanafunzi wake, “Haiwezekani kabisa kusitokee vikwazo vinavyosababisha dhambi; lakini ole wake mtu yule atakayevisababisha. Ingekuwa afadhali kwake kufungiwa shingoni jiwe kubwa la kusagia na kutoswa baharini, kuliko kumkwaza mmoja wa wadogo hawa.
Izpēti Luka 17:1-2
9
Luka 17:26-27
Kama ilivyokuwa nyakati za Noa, ndivyo itakavyokuwa katika siku za Mwana wa Mtu. Watu waliendelea kula na kunywa, kuoa na kuolewa mpaka wakati ule Noa alipoingia katika safina. Gharika ikatokea na kuwaangamiza wote.
Izpēti Luka 17:26-27
Lai personalizētu tavu pieredzi, YouVersion izmanto sīkfailus. Izmantojot mūsu vietni, tu piekrīti, ka mēs izmantojam sīkfailus, kā aprakstīts mūsu Privātuma politikā
Mājas
Bībele
Plāni
Video