1
Luka 24:49
Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza
Nami mwenyewe nitawapelekeeni yule ambaye Baba aliahidi kumtuma, lakini ngojeni huku mjini mpaka mtakapopewa ile nguvu itokayo juu.”
Salīdzināt
Izpēti Luka 24:49
2
Luka 24:6
Hayuko hapa; amefufuka. Kumbukeni aliyowaambieni alipokuwa kule Galilaya
Izpēti Luka 24:6
3
Luka 24:31-32
Mara macho yao yakafumbuliwa, wakamtambua; lakini yeye akatoweka kati yao. Basi, wakaambiana, “Je, mioyo yetu haikuwa inawaka ndani yetu wakati alipokuwa anatufafanulia Maandiko Matakatifu kule njiani?”
Izpēti Luka 24:31-32
4
Luka 24:46-47
Akawaambia, “Ndivyo ilivyoandikwa, kwamba Kristo atateswa na siku ya tatu atafufuka kutoka kwa wafu, na kwamba ni lazima, kwa jina lake, mataifa yote kuanzia Yerusalemu, yahubiriwe kwamba watu wanapaswa kutubu na kusamehewa dhambi.
Izpēti Luka 24:46-47
5
Luka 24:2-3
Walikuta lile jiwe limevingirishwa mbali na kaburi. Walipoingia ndani, hawakuuona mwili wa Bwana Yesu.
Izpēti Luka 24:2-3
Mājas
Bībele
Plāni
Video