1
Mwanzo 2:24
Swahili Revised Union Version
Kwa hiyo mwanamume atamwacha baba yake na mama yake naye ataambatana na mkewe, nao watakuwa mwili mmoja.
Salīdzināt
Izpēti Mwanzo 2:24
2
Mwanzo 2:18
BWANA Mungu akasema, Si vema huyo mtu awe peke yake, nitamfanyia msaidizi wa kufanana naye.
Izpēti Mwanzo 2:18
3
Mwanzo 2:7
BWANA Mungu akamfanya mtu kwa mavumbi ya ardhi, akampulizia puani pumzi ya uhai; mtu akawa kiumbe hai.
Izpēti Mwanzo 2:7
4
Mwanzo 2:23
Adamu akasema, Sasa huyu ni mfupa katika mifupa yangu, na nyama katika nyama yangu, basi ataitwa mwanamke, kwa maana ametwaliwa katika mwanamume.
Izpēti Mwanzo 2:23
5
Mwanzo 2:3
Mungu akaibarikia siku ya saba, akaitakasa kwa sababu katika siku hiyo Mungu alistarehe, akaacha kufanya kazi yake yote aliyoiumba na kuifanya.
Izpēti Mwanzo 2:3
6
Mwanzo 2:25
Nao walikuwa uchi wote wawili, Adamu na mkewe, wala hawakuona haya.
Izpēti Mwanzo 2:25
Lai personalizētu tavu pieredzi, YouVersion izmanto sīkfailus. Izmantojot mūsu vietni, tu piekrīti, ka mēs izmantojam sīkfailus, kā aprakstīts mūsu Privātuma politikā
Mājas
Bībele
Plāni
Video