Logo ya YouVersion
Elilingi ya Boluki

Luka 8:24

Luka 8:24 SRUVDC

Wakamwendea, wakamwamsha, wakisema, Bwana mkubwa, Bwana mkubwa, tunaangamia. Akaamka, akaukemea upepo na msukosuko wa maji, vikakoma; kukawa shwari.