Logo ya YouVersion
Elilingi ya Boluki

Luka 18:4-5

Luka 18:4-5 SRUVDC

Naye kwa muda alikataa; halafu akasema moyoni mwake, Ijapokuwa simchi Mungu wala sijali watu, lakini, kwa kuwa mjane huyu ananiudhi, nitampatia haki yake, asije akanichosha kwa kunijia daima.