1
Mwanzo 7:1
Neno: Bibilia Takatifu
Ndipo BWANA akamwambia Noa, “Ingia katika safina wewe na jamaa yako yote, kwa sababu katika kizazi hiki nimeona ya kuwa wewe ni mwenye haki.
ប្រៀបធៀប
រុករក Mwanzo 7:1
2
Mwanzo 7:24
Maji yakaifunika dunia kwa siku 150.
រុករក Mwanzo 7:24
3
Mwanzo 7:11
Katika siku ya kumi na saba ya mwezi wa pili mwaka wa 600 wa kuishi kwake Noa, siku hiyo ndipo chemchemi zote hata zilizo chini sana ya ardhi zilibubujika kwa nguvu, na malango ya mafuriko ya mbinguni yakafunguliwa.
រុករក Mwanzo 7:11
4
Mwanzo 7:23
Kila kitu chenye uhai juu ya uso wa nchi kilifutiliwa mbali, watu, wanyama, viumbe vitambaavyo na ndege warukao angani wakafutiliwa mbali toka duniani. Waliobaki ni Noa peke yake na wale waliokuwa pamoja naye ndani ya safina.
រុករក Mwanzo 7:23
5
Mwanzo 7:12
Mvua ikanyesha juu ya nchi siku arobaini usiku na mchana.
រុករក Mwanzo 7:12
គេហ៍
ព្រះគម្ពីរ
គម្រោងអាន
វីដេអូ