1
1 Mose 16:13
Swahili Roehl Bible 1937
Ndipo, alipomwita Bwana aliyesema naye jina lake: Wewe Mungu unaniona, kwani alisema: Kumbe nami nimemwona, aliponitazama.
Compare
Explore 1 Mose 16:13
2
1 Mose 16:11
Malaika wa Bwana akaendelea kumwambia: Ninakuona kuwa mwenye mimba. Mwana, utakayemzaa, mwite jina lake Isimaeli (Mungu husikia), kwa kuwa Bwana amekusikia, ulipomlalamikia kwa kuteseka.
Explore 1 Mose 16:11
3
1 Mose 16:12
Naye atakuwa mwenye ukali kama punda wa porini, mkono wake utawapingia watu wote, nayo mikono yao wote itampingia yeye, naye atakaa mbele yao ndugu zake wote.
Explore 1 Mose 16:12
მთავარი
ბიბლია
გეგმები
ვიდეოები