Biblica, The International Bible Society, inawapa watu Maandiko ya Mwenyezi Mungu kupitia kutafsiri na kuchapisha Maandiko, na mipango ya kushirikisha watu kusoma Maandiko katika Afrika, Asia ya Mashariki na Pasifiki, Ulaya, Amerika ya Kilatini, Mashariki ya Kati, Amerika ya Kaskazini, na Asia ya Kusini. Kupitia mpango wake wa kufikia dunia nzima, Biblica inahusisha watu na Maandiko ya Mwenyezi Mungu ili maisha yao yapate kubadilishwa kupitia uhusiano wao na Isa Al-Masihi.


Biblica, Inc.

NMM 出版元

詳細

他の聖書 Biblica, Inc.

YouVersionはCookieを使用してユーザエクスペリエンスをカスタマイズします。当ウェブサイトを使用することにより、利用者はプライバシーポリシーに記載されているCookieの使用に同意するものとします。