1
Yoane 15:5
BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002
“Mimi ni muzabibu, nanyi ni matawi. Anayekaa ndani yangu, na mimi ndani yake anazaa matunda mengi, kwa sababu pasipo mimi hamuwezi kufanya kitu.
Bera saman
Njòttu Yoane 15:5
2
Yoane 15:4
Mukae ndani yangu, nami nitakaa ndani yenu. Tawi haliwezi kuzaa matunda lisipokaa ndani ya muzabibu. Vilevile ninyi hamuwezi kuzaa matunda musipokaa ndani yangu.
Njòttu Yoane 15:4
3
Yoane 15:7
Kama mukikaa ndani yangu na maneno yangu yanakaa ndani yenu, mutaomba chochote munachotaka, nanyi mutakipewa.
Njòttu Yoane 15:7
4
Yoane 15:16
Ninyi hamukunichagua mimi, lakini ni mimi niliyewachagua ninyi. Nami nimewatuma muende kuzaa matunda yasiyokuwa na mwisho. Kwa hiyo Baba atawapa chochote munachoomba kwa jina langu.
Njòttu Yoane 15:16
5
Yoane 15:13
Hakuna anayekuwa na upendo mukubwa kuliko mutu anayetoa maisha yake kwa ajili ya warafiki zake.
Njòttu Yoane 15:13
6
Yoane 15:2
Yeye anakata kila tawi linalokuwa ndani yangu lisilozaa matunda. Naye anasafisha kila tawi linalozaa matunda, kusudi lizae matunda mengi zaidi.
Njòttu Yoane 15:2
7
Yoane 15:12
Hii ndiyo amri ninayowapa: mupendane ninyi kwa ninyi kama ninavyowapenda.
Njòttu Yoane 15:12
8
Yoane 15:8
Kama mukizaa matunda mengi, Baba yangu atatukuzwa, na hivi mutakuwa kweli wanafunzi wangu.
Njòttu Yoane 15:8
9
Yoane 15:1
“Mimi ni muzabibu wa kweli, na Baba yangu ni mulimaji.
Njòttu Yoane 15:1
10
Yoane 15:6
Kama mutu asipokaa ndani yangu, yeye ni kama tawi linalotupwa na kukauka. Matawi yanayokauka yanakusanywa na kutupwa katika moto nayo yanateketea.
Njòttu Yoane 15:6
11
Yoane 15:11
“Nimewaambia ninyi maneno haya kusudi mufurahi sawa mimi, na furaha yenu ikuwe kubwa kabisa.
Njòttu Yoane 15:11
12
Yoane 15:10
Kama mukishika amri zangu, mutakaa katika upendo wangu, kama vile mimi nilivyoshika amri za Baba yangu na kukaa katika upendo wake.
Njòttu Yoane 15:10
13
Yoane 15:17
Amri ninawapa ni kwamba mupendane ninyi kwa ninyi.
Njòttu Yoane 15:17
14
Yoane 15:19
Kama mungekuwa watu wa dunia, dunia ingewapenda, kwa maana ninyi ni watu wake. Lakini nimewachagua ninyi toka dunia hii, na ninyi si watu wa dunia tena. Ni kwa sababu hii dunia inawachukia.
Njòttu Yoane 15:19
Heim
Biblía
Áætlanir
Myndbönd