1
Yoane 10:10
BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002
Mwizi anakuja tu kwa kuiba, kuua na kuharibu. Mimi nimekuja kusudi watu wapate uzima, ndio uzima wa kweli kabisa.
Bera saman
Njòttu Yoane 10:10
2
Yoane 10:11
“Mimi ni muchungaji mwema. Muchungaji mwema anatoa maisha yake kwa ajili ya kondoo wake.
Njòttu Yoane 10:11
3
Yoane 10:27
Kondoo wangu wanasikia sauti yangu, ninawajua, nao wananifuata.
Njòttu Yoane 10:27
4
Yoane 10:28
Mimi ninawapa uzima wa milele, nao hawatapotea hata milele, wala hakuna mutu anayeweza kuwanyanganya toka katika mukono wangu.
Njòttu Yoane 10:28
5
Yoane 10:9
Mimi ni mulango. Mutu akiingia kwa kupitia kwangu, ataokoka, ataingia na kutoka, naye atapata chakula.
Njòttu Yoane 10:9
6
Yoane 10:14
Mimi ni muchungaji mwema. Ninajua kondoo wangu na kondoo wangu wananijua
Njòttu Yoane 10:14
7
Yoane 10:29-30
Baba yangu aliyenipa kondoo hawa ni mukubwa kuliko wote, na hakuna mutu anayeweza kuwanyanganya toka kwa Baba yangu. Mimi na Baba yangu tuko mumoja.”
Njòttu Yoane 10:29-30
8
Yoane 10:15
kama vile Baba anavyonijua mimi, na mimi ninavyomujua Baba. Vilevile mimi ninatoa maisha yangu kwa ajili ya kondoo wangu.
Njòttu Yoane 10:15
9
Yoane 10:18
Hakuna mutu anayeweza kunionodoa uzima, lakini ninajitoa mwenyewe kufa kwa mapenzi yangu. Niko na uwezo wa kujitoa kufa na niko na uwezo wa kuwa tena muzima. Ni vile Baba yangu alivyoniagiza kufanya.”
Njòttu Yoane 10:18
10
Yoane 10:7
Basi Yesu akaongeza kusema: “Kweli, kweli ninawaambia: mimi ni mulango wa upango wa kondoo.
Njòttu Yoane 10:7
11
Yoane 10:12
Lakini mutumishi wa mushahara si muchungaji, wala kondoo si wake. Kwa sababu hii wakati anapoona imbwa wa pori anakuja, anaacha kondoo na kukimbia. Na halafu imbwa wa pori anawakamata na kuwasambaza.
Njòttu Yoane 10:12
12
Yoane 10:1
Yesu akasema: “Kweli, kweli ninawaambia: mutu asiyeingia kwa mulango wa upango wa kondoo, lakini anapandia na kuingilia nafasi ingine, yeye ni mwizi na munyanganyi.
Njòttu Yoane 10:1
Heim
Biblía
Áætlanir
Myndbönd