1
Mwanzo 7:1
BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002
Yawe akamwambia Noa: “Ingia ndani ya chombo wewe pamoja na jamaa yako yote, kwa maana, kati ya watu wote wa kizazi hiki, nimekuona wewe peke yako kuwa mutu wa haki mbele yangu.
Bera saman
Njòttu Mwanzo 7:1
2
Mwanzo 7:24
Maji hayo yalidumu katika inchi siku mia moja na makumi tano.
Njòttu Mwanzo 7:24
3
Mwanzo 7:11
Noa alipokuwa na umri wa miaka mia sita, katika siku ya kumi na saba ya mwezi wa pili, siku hiyo chemichemi zote za vilindi vya udongo zikabubujika maji, na madirisha ya mbinguni yakafunguka.
Njòttu Mwanzo 7:11
4
Mwanzo 7:23
Mungu akaangamiza kila kiumbe kilichokuwa na pumzi ya uzima katika dunia: wanadamu, nyama, viumbe vinavyotambaa na ndege wa anga. Vyote viliangamizwa katika dunia. Noa tu ndiye aliyebaki na wale waliokuwa pamoja naye ndani ya chombo.
Njòttu Mwanzo 7:23
5
Mwanzo 7:12
Mvua ikanyesha juu ya inchi siku makumi ine, muchana na usiku.
Njòttu Mwanzo 7:12
Heim
Biblía
Áætlanir
Myndbönd