1
Mwanzo 13:15
BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002
Inchi hii yote unayoona nitakupa wewe na wazao wako ikuwe yenu milele.
Bera saman
Njòttu Mwanzo 13:15
2
Mwanzo 13:14
Nyuma ya Loti kujitenga na Abramu, Yawe akamwambia Abramu: “Inua macho yako toka pale unapokuwa, utazame pande zote: kaskazini, kusini, mashariki na magaribi.
Njòttu Mwanzo 13:14
3
Mwanzo 13:16
Wazao wako nitawafanya wakuwe wengi wasihesabike, kama vile mavumbi ya inchi. Kama vile vumbi isivyoweza kuhesabika, ndivyo wazao wako hawataweza kuhesabika!
Njòttu Mwanzo 13:16
4
Mwanzo 13:8
Basi, Abramu akamwambia Loti: “Kusikuwe ugomvi kati yetu wala kati ya wachungaji wako na wachungaji wangu, kwa sababu sisi ni jamaa moja.
Njòttu Mwanzo 13:8
5
Mwanzo 13:18
Kwa hiyo, Abramu akaongoa hema, akakwenda kukaa karibu na mielo ya Mamure kule Hebroni. Kule akajengea Yawe mazabahu.
Njòttu Mwanzo 13:18
6
Mwanzo 13:10
Loti akainua macho yake, akaona bonde la muto Yordani, akaona kwamba lina maji ya kutosha kila pahali, kama vile bustani ya Yawe na kama vile inchi ya Misri upande wa Soari. (Hii ilikuwa mbele Yawe hajaiangamiza miji ya Sodoma na Gomora).
Njòttu Mwanzo 13:10
Heim
Biblía
Áætlanir
Myndbönd