1
Yohane 3:16
BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA
SCLDC10
Maana Mungu aliupenda ulimwengu hivi hata akamtoa Mwana wake wa pekee, ili kila amwaminiye asipotee, bali awe na uhai wa milele.
Konpare
Eksplore Yohane 3:16
2
Yohane 3:17
Maana Mungu hakumtuma Mwanae ulimwenguni ili auhukumu ulimwengu, bali aukomboe.
Eksplore Yohane 3:17
3
Yohane 3:3
Yesu akamwambia, “Kweli nakuambia, mtu asipozaliwa tena hataweza kuuona ufalme wa Mungu.”
Eksplore Yohane 3:3
4
Yohane 3:18
“Anayemwamini Mwana hahukumiwi; asiyemwamini amekwisha hukumiwa, kwa sababu hakumwamini Mwana wa pekee wa Mungu.
Eksplore Yohane 3:18
5
Yohane 3:19
Na hukumu yenyewe ndiyo hii: Mwanga umekuja ulimwenguni lakini watu wakapenda giza kuliko mwanga, kwani matendo yao ni maovu.
Eksplore Yohane 3:19
6
Yohane 3:30
Ni lazima yeye azidi kuwa maarufu, na mimi nipungue.”
Eksplore Yohane 3:30
7
Yohane 3:20
Kila mtu atendaye maovu anauchukia mwanga, wala haji kwenye mwanga, maana hapendi matendo yake maovu yamulikwe.
Eksplore Yohane 3:20
8
Yohane 3:36
Anayemwamini Mwana anao uhai wa milele; asiyemwamini Mwana hatakuwa na uhai wa milele, bali ghadhabu ya Mungu hubaki juu yake.
Eksplore Yohane 3:36
9
Yohane 3:14
“Kama vile Mose alivyomwinua juu nyoka wa shaba kule jangwani, naye Mwana wa Mtu atainuliwa juu vivyo hivyo
Eksplore Yohane 3:14
10
Yohane 3:35
Baba anampenda Mwana na amemkabidhi vitu vyote.
Eksplore Yohane 3:35
Akèy
Bib
Plan yo
Videyo