Logo YouVersion
BibPlan yoVideyo
Pran aplikasyon an
Seleksyone Lang
Chache Icon

Vèsè popilè nan Bib la ki soti nan Mwanzo 2

1

Mwanzo 2:24

BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA

SCLDC10

Ndiyo maana mwanamume humwacha baba yake na mama yake, akaambatana na mkewe, nao wawili huwa mwili mmoja.

Konpare

Eksplore Mwanzo 2:24

2

Mwanzo 2:18

BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA

SCLDC10

Kisha Mwenyezi-Mungu akasema, “Si vizuri huyu mwanamume kuwa peke yake. Nitamfanyia msaidizi wa kumfaa.”

Konpare

Eksplore Mwanzo 2:18

3

Mwanzo 2:7

BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA

SCLDC10

Basi, Mwenyezi-Mungu akamfanya mwanamume kwa mavumbi ya udongo, akampulizia puani pumzi ya uhai, na huyo mwanamume akawa kiumbe hai.

Konpare

Eksplore Mwanzo 2:7

4

Mwanzo 2:23

BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA

SCLDC10

Ndipo huyo mwanamume akasema, “Naam! Huyu ni mfupa kutoka mifupa yangu, na nyama kutoka nyama yangu. Huyu ataitwa ‘Mwanamke’, kwa sababu ametolewa katika mwanamume.”

Konpare

Eksplore Mwanzo 2:23

5

Mwanzo 2:3

BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA

SCLDC10

Mungu akaibariki siku ya saba na kuitakasa, kwa kuwa siku hiyo Mungu alipumzika baada ya kazi yake yote ya kuumba.

Konpare

Eksplore Mwanzo 2:3

6

Mwanzo 2:25

BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA

SCLDC10

Huyo mwanamume na mkewe wote walikuwa uchi, lakini hawakuona haya.

Konpare

Eksplore Mwanzo 2:25

Chapit Avan yo
Chapit suivan
YouVersion

Ankouraje ak defi pou w chèche entimite ak Bondye chak jou.

Ministè

Apwopo

Karyè yo

Volontè

Blòg

Peze

Lyen itil yo

Ed

Fè yon don

Vèsyon Bib yo

Odyo Bib yo

Diferan Lang yo nan Bib la

Vèsè Jodi a


Yon Ministè Digital nan

Life.Church
English (US)

©2025 Life.Church / YouVersion

Politik PriveTèm yo
Pwogram Divilgasyon Vilnerabilite
FacebookTwitterInstagramYouTubePinterest

Akèy

Bib

Plan yo

Videyo