1
Lk 11:13
Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia
Basi, ikiwa ninyi mlio waovu mnajua kuwapa watoto wenu vipawa vyema, je! Baba aliye mbinguni hatazidi sana kuwapa Roho Mtakatifu hao wamwombao?
तुलना
खोजें Lk 11:13
2
Lk 11:9
Nami nawaambia, Ombeni, nanyi mtapewa; tafuteni, nanyi mtaona; bisheni, nanyi mtafunguliwa.
खोजें Lk 11:9
3
Lk 11:10
Kwa kuwa kila aombaye hupokea; naye atafutaye huona; naye abishaye atafunguliwa.
खोजें Lk 11:10
4
Lk 11:2
Akawaambia, Msalipo, semeni, Baba [yetu uliye mbinguni], Jina lako litakaswe, Ufalme wako uje, [Mapenzi yako yatimizwe, hapa duniani kama huko mbinguni.]
खोजें Lk 11:2
5
Lk 11:4
Utusamehe dhambi zetu, kwa kuwa sisi nasi tunamsamehe kila tumwiaye. Na usitutie majaribuni [lakini tuokoe na yule mwovu].
खोजें Lk 11:4
6
Lk 11:3
Utupe siku kwa siku riziki yetu.
खोजें Lk 11:3
7
Lk 11:34
Taa ya mwili ni jicho; basi jicho lako likiwa safi, mwili wako wote unao mwanga; lakini likiwa bovu, mwili wako nao una giza.
खोजें Lk 11:34
8
Lk 11:33
Hakuna mtu awashaye taa na kuiweka mahali palipositirika, au chini ya pishi; bali huiweka juu ya kiango, ili waingiao wapate kuuona mwanga.
खोजें Lk 11:33
होम
बाइबिल
योजनाएँ
वीडियो