1
Mwanzo 9:12-13
BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002
Tena Mungu akasema: “Hiki ndicho kitambulisho cha agano ninalofanya kati yangu nanyi na kila kiumbe chenye uzima kinachokuwa pamoja nanyi kwa vizazi vyote vinavyokuja: ninaweka upinde wangu katika mawingu, nao utakuwa kitambulisho cha agano kati yangu na dunia.
השווה
חקרו Mwanzo 9:12-13
2
Mwanzo 9:16
Huo upinde utakapotokea katika mawingu, nitauona na kukumbuka agano hilo la milele kati yangu na viumbe vyote vyenye uzima katika dunia.”
חקרו Mwanzo 9:16
3
Mwanzo 9:6
Anayemwanga damu ya mwanadamu, damu yake itamwangwa na mwanadamu; maana mwanadamu aliumbwa kwa mufano wa Mungu.
חקרו Mwanzo 9:6
4
Mwanzo 9:1
Mungu akamubariki Noa na wana wake, akiwaambia: “Muzae, muongezeke, mujaze inchi.
חקרו Mwanzo 9:1
5
Mwanzo 9:3
Nyama wote wenye uzima watakuwa chakula chenu; ninawapa nyama hao kama vile nilivyowapa mimea kuwa chakula chenu.
חקרו Mwanzo 9:3
6
Mwanzo 9:2
Nyama wote, ndege wote wa anga, viumbe vyote vinavyotambaa juu ya inchi na samaki wote wa bahari watakuwa na hofu na kuwaogopa ninyi. Wote wamewekwa chini ya mamlaka yenu.
חקרו Mwanzo 9:2
7
Mwanzo 9:7
Nanyi muzae, mwongezeke, muzae kwa wingi, mwongezeke katika inchi.”
חקרו Mwanzo 9:7
בית
כתבי הקודש
תוכניות
קטעי וידאו