1
Mwanzo 18:14
Swahili Revised Union Version
Kuna neno gani lililo gumu la kumshinda BWANA? Kwa muhula wake nitakurudia, wakati huu huu mwakani, na Sara atapata mwana wa kiume.
השווה
חקרו Mwanzo 18:14
2
Mwanzo 18:12
Kwa hiyo Sara akacheka moyoni mwake, akisema, Niwapo mkongwe, nitapata furaha, na bwana wangu mzee?
חקרו Mwanzo 18:12
3
Mwanzo 18:18
ikiwa Abrahamu atakuwa taifa kuu, hodari, na katika yeye mataifa yote ya dunia watabarikiwa?
חקרו Mwanzo 18:18
4
Mwanzo 18:23-24
Abrahamu akakaribia, akasema, Je! Utaharibu mwenye haki pamoja na mwovu? Huenda wakawapo wenye haki hamsini katika mji, utaharibu, wala hutauacha mji kwa ajili ya hao hamsini wenye haki waliomo?
חקרו Mwanzo 18:23-24
5
Mwanzo 18:26
BWANA akasema, Nikiona katika Sodoma wenye haki hamsini mjini, nitapaacha mahali pote kwa ajili yao.
חקרו Mwanzo 18:26
בית
כתבי הקודש
תוכניות
קטעי וידאו