YouVersion-logo
RaamattuSuunnitelmatVideot
Hanki sovellus
Kielen valitsin
Hakukuvake

Suosittuja jakeita Raamatun kirjasta 1 Mose 2

1

1 Mose 2:24

Swahili Roehl Bible 1937

SRB37

Kwa sababu hii mtu atamwacha baba yake na mama yake, agandamiane na mkewe, nao watakuwa mwili mmoja.

Vertaa

Tutki 1 Mose 2:24

2

1 Mose 2:18

Swahili Roehl Bible 1937

SRB37

Bwana Mungu akasema: Hiafai, mtu akiwa peke yake, nitamfanyizia mwenziwe wa kusaidiana naye.

Vertaa

Tutki 1 Mose 2:18

3

1 Mose 2:7

Swahili Roehl Bible 1937

SRB37

Naye Bwana Mungu alipomwumba mtu alimtengeneza na kutumia mavumbi ya nchi, kisha akampulizia puani mwake pumzi ya uzima; ndipo, mtu alipopata kuwa mwenye roho ya uzima.

Vertaa

Tutki 1 Mose 2:7

4

1 Mose 2:23

Swahili Roehl Bible 1937

SRB37

Adamu akasema: Kweli huyu ni mfupa utokao katika mifupa yangu, ni mwenye mwili utokao mwilini mwangu; kwa hiyo ataitwa mwanamke, kwa kuwa ametolewa katika mwanamume.

Vertaa

Tutki 1 Mose 2:23

5

1 Mose 2:3

Swahili Roehl Bible 1937

SRB37

kwa hiyo Mungu akaibariki siku ya saba na kuitakasa, kwa kuwa siku hiyo Mungu alizipumzikia kazi zake zote, alizozifanya za kuumba.

Vertaa

Tutki 1 Mose 2:3

6

1 Mose 2:25

Swahili Roehl Bible 1937

SRB37

Nao wote wawili, Adamu na mkewe, walikuwa wenye uchi, lakini hawakuona soni.

Vertaa

Tutki 1 Mose 2:25

Edellinen luku
Seuraava luku
YouVersion

Rohkaisemassa ja haastamassa sinua etsimään läheisyyttä Jumalan kanssa joka päivä.

Palvelutehtävä

Tietoa

Uramahdollisuudet

Vapaaehtoiseksi

Blogi

Lehdistö

Hyödyllisiä linkkejä

Apua

Lahjoita

Raamatunkäännökset

Ääniraamatut

Kielet

Päivän jae


Digitaalinen palvelutehtävä

Life.Church
English (US)

©2025 Life.Church / YouVersion

YksityisyyskäytännötKäyttöehdot
Haavoittuvuuden paljastamisohjelma
FacebookTwitterInstagramYouTubePinterest

Koti

Raamattu

Suunnitelmat

Videot