1
Yohane 3:16
BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA
Maana Mungu aliupenda ulimwengu hivi hata akamtoa Mwana wake wa pekee, ili kila amwaminiye asipotee, bali awe na uhai wa milele.
مقایسه
Yohane 3:16 را جستجو کنید
2
Yohane 3:17
Maana Mungu hakumtuma Mwanae ulimwenguni ili auhukumu ulimwengu, bali aukomboe.
Yohane 3:17 را جستجو کنید
3
Yohane 3:3
Yesu akamwambia, “Kweli nakuambia, mtu asipozaliwa tena hataweza kuuona ufalme wa Mungu.”
Yohane 3:3 را جستجو کنید
4
Yohane 3:18
“Anayemwamini Mwana hahukumiwi; asiyemwamini amekwisha hukumiwa, kwa sababu hakumwamini Mwana wa pekee wa Mungu.
Yohane 3:18 را جستجو کنید
5
Yohane 3:19
Na hukumu yenyewe ndiyo hii: Mwanga umekuja ulimwenguni lakini watu wakapenda giza kuliko mwanga, kwani matendo yao ni maovu.
Yohane 3:19 را جستجو کنید
6
Yohane 3:30
Ni lazima yeye azidi kuwa maarufu, na mimi nipungue.”
Yohane 3:30 را جستجو کنید
7
Yohane 3:20
Kila mtu atendaye maovu anauchukia mwanga, wala haji kwenye mwanga, maana hapendi matendo yake maovu yamulikwe.
Yohane 3:20 را جستجو کنید
8
Yohane 3:36
Anayemwamini Mwana anao uhai wa milele; asiyemwamini Mwana hatakuwa na uhai wa milele, bali ghadhabu ya Mungu hubaki juu yake.
Yohane 3:36 را جستجو کنید
9
Yohane 3:14
“Kama vile Mose alivyomwinua juu nyoka wa shaba kule jangwani, naye Mwana wa Mtu atainuliwa juu vivyo hivyo
Yohane 3:14 را جستجو کنید
10
Yohane 3:35
Baba anampenda Mwana na amemkabidhi vitu vyote.
Yohane 3:35 را جستجو کنید
خانه
كتابمقدس
برنامههای مطالعه
ویدیوها