1
Mattayo MT. 12:36-37
New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921
Bassi, nawaambieni, Killa neno lisilo maana, watakalolisema wana Adamu, watatoa hesabu ya neno hilo siku ya hukumu. Maana kwa maneno yako utapewa haki, na kwa maneno yako utahukumiwa.
Compare
Avasta Mattayo MT. 12:36-37
2
Mattayo MT. 12:34
Uzao wa nyoka, mwawezaje kusema mema, mkiwa wabaya? Maana, kinywa cha mtu huyanena yaujazayo moyo wake.
Avasta Mattayo MT. 12:34
3
Mattayo MT. 12:35
Mtu mwema katika hazina njema ya moyo wake hutoa mema: na mtu mbaya katika hazina yake mbaya hutoa mabaya
Avasta Mattayo MT. 12:35
4
Mattayo MT. 12:31
Kwa sababu hii nawaambieni, Killa dhambi na killa neno la kufuru watasamehewa wana Adamu, bali kumtukana Roho hawatasamehewa wana Adamu.
Avasta Mattayo MT. 12:31
5
Mattayo MT. 12:33
Ufanyeni mti kuwa mzuri na matunda yake kuwa mazuri; au ufanyeni mti kuwa mbaya na matunda yake mabaya, kwa maana kwa matunda yake mti hujulikana.
Avasta Mattayo MT. 12:33
YouVersion uses cookies to personalize your experience. By using our website, you accept our use of cookies as described in our Privacy Policy
Home
Bible
Plans
Videos