YouVersion Logo
Search Icon

Yoane 19:36-37

Yoane 19:36-37 SWC02

Mambo haya yalifanyika kusudi Maandiko Matakatifu yanayosema hivi yatimie: “Hakuna hata mufupa wake mumoja utakaovunjwa.” Na tena Maandiko mengine Matakatifu yanasema: “Watamwangalia yule waliyemutoboa kwa mukuki.”