Yoane 19:36-37
Yoane 19:36-37 SWC02
Mambo haya yalifanyika kusudi Maandiko Matakatifu yanayosema hivi yatimie: “Hakuna hata mufupa wake mumoja utakaovunjwa.” Na tena Maandiko mengine Matakatifu yanasema: “Watamwangalia yule waliyemutoboa kwa mukuki.”