1
Yohane 3:16
BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA
Maana Mungu aliupenda ulimwengu hivi hata akamtoa Mwana wake wa pekee, ili kila amwaminiye asipotee, bali awe na uhai wa milele.
Σύγκριση
Διαβάστε Yohane 3:16
2
Yohane 3:17
Maana Mungu hakumtuma Mwanae ulimwenguni ili auhukumu ulimwengu, bali aukomboe.
Διαβάστε Yohane 3:17
3
Yohane 3:3
Yesu akamwambia, “Kweli nakuambia, mtu asipozaliwa tena hataweza kuuona ufalme wa Mungu.”
Διαβάστε Yohane 3:3
4
Yohane 3:18
“Anayemwamini Mwana hahukumiwi; asiyemwamini amekwisha hukumiwa, kwa sababu hakumwamini Mwana wa pekee wa Mungu.
Διαβάστε Yohane 3:18
5
Yohane 3:19
Na hukumu yenyewe ndiyo hii: Mwanga umekuja ulimwenguni lakini watu wakapenda giza kuliko mwanga, kwani matendo yao ni maovu.
Διαβάστε Yohane 3:19
6
Yohane 3:30
Ni lazima yeye azidi kuwa maarufu, na mimi nipungue.”
Διαβάστε Yohane 3:30
7
Yohane 3:20
Kila mtu atendaye maovu anauchukia mwanga, wala haji kwenye mwanga, maana hapendi matendo yake maovu yamulikwe.
Διαβάστε Yohane 3:20
8
Yohane 3:36
Anayemwamini Mwana anao uhai wa milele; asiyemwamini Mwana hatakuwa na uhai wa milele, bali ghadhabu ya Mungu hubaki juu yake.
Διαβάστε Yohane 3:36
9
Yohane 3:14
“Kama vile Mose alivyomwinua juu nyoka wa shaba kule jangwani, naye Mwana wa Mtu atainuliwa juu vivyo hivyo
Διαβάστε Yohane 3:14
10
Yohane 3:35
Baba anampenda Mwana na amemkabidhi vitu vyote.
Διαβάστε Yohane 3:35
Αρχική
Αγία Γραφή
Σχέδια
Βίντεο