Mwanzo 11:6-7

Mwanzo 11:6-7 RSUVDC

BWANA akasema, Tazama, watu hawa ni taifa moja, na lugha yao ni moja; na haya ndiyo wanayoanza kuyafanya, wala sasa hawatazuiliwa neno wanalokusudia kulifanya. Haya, na tushuke huko, tuwachafulie usemi wao ili wasisikilizane maneno wao kwa wao.

Kostenlose Lesepläne und Andachten zum Thema Mwanzo 11:6-7