1
Luka MT. 16:10
New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921
SWZZB1921
Aliye mwaminifu katika kile kilicho kidogo huwa mwaminifu na katika kile kilicho kikubwa: nae aliye mdhalimu katika kile kilicho kidogo, huwa mdhalimu na katika kile kilicho kikubwa.
Sammenlign
Udforsk Luka MT. 16:10
2
Luka MT. 16:13
Hakuna mtumishi awezae kuwatumikia bwana wawili: maana au atamchukia huyu, na kumpenda huyu; ama atashikamana na huyu, na kumdharau huyu. Hamwezi kumtumikia Mungu na Mamona.
Udforsk Luka MT. 16:13
3
Luka MT. 16:11-12
Bassi, ikiwa hamkuwa waaminifu katika mamona ya udhalimu, nani atakaewaaminisheni mali ya kweli? Na ikiwa hamkuwa waaminifu katika mali ya mtu mwingine, nani atakaewapeni mali iliyo yenu wenyewe?
Udforsk Luka MT. 16:11-12
4
Luka MT. 16:31
Akamwambia, Wasiposikia Musa na manabii, ajapoondoka mtu katika wafu, hawatashawishwa.
Udforsk Luka MT. 16:31
5
Luka MT. 16:18
Killa amwachae mkewe na kumwoa mwingine, amezini; nae amwoae yeye aliyeachwa na mumewe azini.
Udforsk Luka MT. 16:18
Hjem
Bibel
Læseplaner
Videoer