1
Yohane 3:16
BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA
Maana Mungu aliupenda ulimwengu hivi hata akamtoa Mwana wake wa pekee, ili kila amwaminiye asipotee, bali awe na uhai wa milele.
Porovnat
Zkoumat Yohane 3:16
2
Yohane 3:17
Maana Mungu hakumtuma Mwanae ulimwenguni ili auhukumu ulimwengu, bali aukomboe.
Zkoumat Yohane 3:17
3
Yohane 3:3
Yesu akamwambia, “Kweli nakuambia, mtu asipozaliwa tena hataweza kuuona ufalme wa Mungu.”
Zkoumat Yohane 3:3
4
Yohane 3:18
“Anayemwamini Mwana hahukumiwi; asiyemwamini amekwisha hukumiwa, kwa sababu hakumwamini Mwana wa pekee wa Mungu.
Zkoumat Yohane 3:18
5
Yohane 3:19
Na hukumu yenyewe ndiyo hii: Mwanga umekuja ulimwenguni lakini watu wakapenda giza kuliko mwanga, kwani matendo yao ni maovu.
Zkoumat Yohane 3:19
6
Yohane 3:30
Ni lazima yeye azidi kuwa maarufu, na mimi nipungue.”
Zkoumat Yohane 3:30
7
Yohane 3:20
Kila mtu atendaye maovu anauchukia mwanga, wala haji kwenye mwanga, maana hapendi matendo yake maovu yamulikwe.
Zkoumat Yohane 3:20
8
Yohane 3:36
Anayemwamini Mwana anao uhai wa milele; asiyemwamini Mwana hatakuwa na uhai wa milele, bali ghadhabu ya Mungu hubaki juu yake.
Zkoumat Yohane 3:36
9
Yohane 3:14
“Kama vile Mose alivyomwinua juu nyoka wa shaba kule jangwani, naye Mwana wa Mtu atainuliwa juu vivyo hivyo
Zkoumat Yohane 3:14
10
Yohane 3:35
Baba anampenda Mwana na amemkabidhi vitu vyote.
Zkoumat Yohane 3:35
Domů
Bible
Plány
Videa