YouVersion Logo
Search Icon

Ufunuo 9:20-21

Ufunuo 9:20-21 BHN

Wanadamu wengine waliobaki ambao hawakuuawa na mabaa hayo, hawakutubu na kuviacha vitu walivyokuwa wametengeneza kwa mikono yao wenyewe; wala kuacha kuabudu pepo, sanamu za dhahabu, fedha, shaba, mawe na miti, vitu ambavyo haviwezi kuona, kusikia wala kutembea. Wala hawakutubu na kuacha kufanya mauaji, uchawi, uzinzi, na wizi.