YouVersion Logo
Search Icon

Yeremia 20:8-9

Yeremia 20:8-9 NEN

Kila ninenapo, ninapiga kelele nikitangaza ukatili na uharibifu. Kwa hiyo neno la BWANA limeniletea matukano na mashutumu mchana kutwa. Lakini kama nikisema, “Sitamtaja wala kusema tena kwa jina lake,” neno lake linawaka ndani ya moyo wangu kama moto, moto uliofungwa ndani ya mifupa yangu. Nimechoka sana kwa kulizuia ndani mwangu; kweli, siwezi kujizuia.