1
Mathayo 21:22
Biblia Habari Njema
Na mkiwa na imani, chochote mtakachoomba kwa sala, mtapata.”
Compare
Explore Mathayo 21:22
2
Mathayo 21:21
Yesu akawajibu, “Kweli nawaambieni, kama mkiwa na imani bila kuwa na mashaka, mnaweza si tu kufanya hivyo, bali hata mkiuambia mlima huu: ‘Ngoka ukajitose baharini,’ itafanyika hivyo.
Explore Mathayo 21:21
3
Mathayo 21:9
Makundi ya watu waliomtangulia na wale waliomfuata wakapaza sauti: “Sifa kwa Mwana wa Daudi! Abarikiwe huyo ajaye kwa jina la Bwana! Sifa kwa Mungu juu!”
Explore Mathayo 21:9
4
Mathayo 21:13
Akawaambia, “Imeandikwa katika Maandiko Matakatifu: ‘Nyumba yangu itaitwa nyumba ya sala.’ Lakini nyinyi mmeifanya kuwa pango la wanyanganyi.”
Explore Mathayo 21:13
5
Mathayo 21:5
“Uambieni mji wa Siyoni: Tazama, Mfalme wako anakujia! Ni mpole na amepanda punda, mwanapunda, mtoto wa punda.”
Explore Mathayo 21:5
6
Mathayo 21:42
Hapo Yesu akawaambia, “Je, hamkusoma jambo hili katika Maandiko Matakatifu? ‘Jiwe walilokataa waashi sasa limekuwa jiwe kuu la msingi. Bwana ndiye aliyefanya jambo hili, nalo ni la ajabu sana kwetu!’
Explore Mathayo 21:42
7
Mathayo 21:43
“Kwa hiyo nawaambieni, ufalme wa Mungu utaondolewa kwenu na kupewa watu wa mataifa mengine wenye kutoa matunda yake.”
Explore Mathayo 21:43
Home
Bible
Plans
Videos