1
Mithali 20:22
Swahili Revised Union Version
Usiseme, Mimi nitalipa mabaya; Mngojee BWANA, naye atakuokoa.
Compare
Explore Mithali 20:22
2
Mithali 20:24
Mwenendo wa mtu watoka kwa BWANA; Basi, awezaje mtu kuelewa na njia yake?
Explore Mithali 20:24
3
Mithali 20:27
Pumzi ya mwanadamu ni taa ya BWANA; Hupeleleza yote yaliyomo ndani yake.
Explore Mithali 20:27
4
Mithali 20:5
Mashauri ya moyoni ni kama kilindi; Lakini mtu mwenye ufahamu atayateka.
Explore Mithali 20:5
5
Mithali 20:19
Mwenye udaku hufunua siri; Basi, usishirikiane naye afunuaye midomo yake sana.
Explore Mithali 20:19
6
Mithali 20:3
Mtu kujitenga na ugomvi ni heshima kwake; Bali kila mpumbavu ataka kugombana.
Explore Mithali 20:3
7
Mithali 20:7
Mwenye haki aendaye katika unyofu wake, Watoto wake wabarikiwa baada yake.
Explore Mithali 20:7
Home
Bible
Plans
Videos