1
Mambo ya Walawi 10:1
Swahili Revised Union Version
Na Nadabu na Abihu, wana wa Haruni, wakatwaa kila mtu chetezo chake, wakatia moto ndani yake, wakatia na uvumba, nao wakatoa moto najisi mbele ya BWANA, ambao yeye hakuwaagiza.
Compare
Explore Mambo ya Walawi 10:1
2
Mambo ya Walawi 10:3
Ndipo Musa akamwambia Haruni, Jambo hili ni hilo BWANA alilolinena, akisema, Nitatakaswa mimi katika hao wanikaribiao, nami nitatukuzwa mbele ya watu hao wote. Haruni akanyamaza kimya.
Explore Mambo ya Walawi 10:3
3
Mambo ya Walawi 10:2
Kisha moto ukatoka hapo mbele za BWANA, na ukawateketeza, nao wakafa mbele za BWANA.
Explore Mambo ya Walawi 10:2
Home
Bible
Plans
Videos