1
1 Wakorintho 10:13
Swahili Revised Union Version
Jaribu halikuwapata ninyi, isipokuwa lililo kawaida ya wanadamu; ila Mungu ni mwaminifu; ambaye hatawaacha mjaribiwe kupita muwezavyo; lakini pamoja na lile jaribu atafanya na mlango wa kutokea, ili muweze kustahimili.
Compare
Explore 1 Wakorintho 10:13
2
1 Wakorintho 10:31
Basi, mlapo, au mnywapo, au mtendapo neno lolote, fanyeni yote kwa utukufu wa Mungu.
Explore 1 Wakorintho 10:31
3
1 Wakorintho 10:12
Kwa hiyo anayejidhania kuwa amesimama na aangalie asianguke.
Explore 1 Wakorintho 10:12
4
1 Wakorintho 10:23
Vitu vyote ni halali; bali si vitu vyote vifaavyo. Vitu vyote ni halali; bali si vitu vyote vijengavyo.
Explore 1 Wakorintho 10:23
5
1 Wakorintho 10:24
Mtu asitafute faida yake mwenyewe, bali ya mwenzake.
Explore 1 Wakorintho 10:24
Home
Bible
Plans
Videos