1
Mathayo 23:11
Swahili Revised Union Version
Naye aliye mkubwa wenu atakuwa mtumishi wenu.
Compare
Explore Mathayo 23:11
2
Mathayo 23:12
Na yeyote atakayejikweza, atadhiliwa; na yeyote atakayejidhili, atakwezwa.
Explore Mathayo 23:12
3
Mathayo 23:23
Ole wenu Waandishi na Mafarisayo, wanafiki! Kwa kuwa mnalipa zaka za mnanaa, bizari na jira, lakini mmeacha mambo makuu ya sheria, yaani, adili, na rehema, na imani; hayo imewapasa kuyafanya, wala yale mengine msiyaache.
Explore Mathayo 23:23
4
Mathayo 23:25
Ole wenu Waandishi na Mafarisayo, wanafiki! Kwa kuwa mnasafisha nje ya kikombe na chano, na ndani yake vimejaa unyang'anyi na kutokuwa na kiasi.
Explore Mathayo 23:25
5
Mathayo 23:37
Ee Yerusalemu, Yerusalemu, uwauaye manabii, na kuwapiga kwa mawe wale waliotumwa kwako! Ni mara ngapi nimetaka kuwakusanya pamoja watoto wako, kama vile kuku awakusanyavyo pamoja vifaranga wake chini ya mabawa yake, lakini hamkutaka!
Explore Mathayo 23:37
6
Mathayo 23:28
Vivyo hivyo ninyi nanyi, kwa nje mwaonekana na watu kuwa wenye haki, bali ndani mmejaa unafiki na maasi.
Explore Mathayo 23:28
Home
Bible
Plans
Videos