1
Mit 18:21
Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia
Mauti na uzima huwa katika uwezo wa ulimi; Na wao waupendao watakula matunda yake.
Compare
Explore Mit 18:21
2
Mit 18:10
Jina la BWANA ni ngome imara; Mwenye haki huikimbilia, akawa salama.
Explore Mit 18:10
3
Mit 18:24
Ajifanyiaye rafiki wengi ni kwa uangamivu wake mwenyewe; Lakini yuko rafiki aambatanaye na mtu kuliko ndugu.
Explore Mit 18:24
4
Mit 18:22
Apataye mke apata kitu chema; Naye ajipatia kibali kwa BWANA.
Explore Mit 18:22
5
Mit 18:13
Yeye ajibuye kabla hajasikia, Ni upumbavu na aibu kwake.
Explore Mit 18:13
6
Mit 18:2
Mpumbavu hapendezwi na ufahamu; Ila moyo wake udhihirike tu.
Explore Mit 18:2
7
Mit 18:12
Kabla ya uharibifu moyo wa mwanadamu hujivuna; Na kabla ya heshima hutangulia unyenyekevu.
Explore Mit 18:12
Home
Bible
Plans
Videos