1
Zekaria 13:9
Neno: Maandiko Matakatifu 2024
Hii theluthi moja nitaileta katika moto; nitawasafisha kama fedha isafishwavyo na kuwajaribu kama dhahabu. Wataliitia Jina langu nami nitawajibu; nitasema, ‘Hawa ni watu wangu,’ nao watasema, ‘Mwenyezi Mungu ni Mungu wetu.’ ”
Compare
Explore Zekaria 13:9
Home
Bible
Plans
Videos