1
Mithali 7:2-3
Neno: Bibilia Takatifu
Shika amri zangu nawe utaishi; linda mafundisho yangu kama mboni ya jicho lako. Yafunge katika vidole vyako; yaandike katika kibao cha moyo wako.
Compare
Explore Mithali 7:2-3
2
Mithali 7:1
Mwanangu, shika maneno yangu na kuzihifadhi amri zangu ndani yako.
Explore Mithali 7:1
3
Mithali 7:5
watakuepusha na mwanamke mzinzi, kutokana na mwanamke mpotovu na maneno yake ya kubembeleza.
Explore Mithali 7:5
Home
Bible
Plans
Videos