1
Luka 2:11
Neno: Bibilia Takatifu
Leo katika mji wa Daudi kwa ajili yenu amezaliwa Mwokozi, ndiye Kristo Bwana.
Compare
Explore Luka 2:11
2
Luka 2:10
Lakini malaika akawaambia: “Msiogope. Kwa maana tazama nawaletea habari njema za furaha itakayokuwa kwa watu wote.
Explore Luka 2:10
3
Luka 2:14
“Atukuzwe Mungu juu mbinguni, na duniani iwe amani kwa watu aliowaridhia.”
Explore Luka 2:14
4
Luka 2:52
Naye Yesu akakua katika hekima na kimo, akimpendeza Mungu na wanadamu.
Explore Luka 2:52
5
Luka 2:12
Hii ndiyo itakayokuwa ishara kwenu: Mtamkuta mtoto mchanga amefunikwa nguo za kitoto na kulazwa katika hori ya kulia ngʼombe.”
Explore Luka 2:12
6
Luka 2:8-9
Katika eneo lile walikuwako wachungaji waliokuwa wakikaa mashambani, wakilinda makundi yao ya kondoo usiku. Ghafula tazama, malaika wa Bwana akawatokea, nao utukufu wa Bwana ukawangʼaria kotekote, wakaingiwa na hofu.
Explore Luka 2:8-9
Home
Bible
Plans
Videos